RAIS MWINYI AHIMIZA WENYE UWEZO KUTOA SADAKA YA FUTARI KWA WENYE UHITAJI

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Al hajj Dk.Hussein Ali Mwinyi ameitaka jamii kwa kila mwenye uwezo kuendeleakuwasaidia wenye uhitaji ili kupata fadhila za mwezi huu mtukufu waRamadhani. Al- hajj Dk. Mwinyi aliyasema hayo wakati akizungumza na wananchi waliokwenye makundi maalumu wakiwemo wazee, wajane, watoto yatima na wenyeulemavu huko viwanja wa Mapinduzi